Friday, November 25, 2011

VINEGA katika harakati za kuinua muziki wa BONGO

Mheshimiwa Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu amedhamiria kuhakikisha kuwa muziki wa Tanzania unainuka kwa mapambano ya kufa kupona ili kuhakikisha kuwa haki za wasanii zinapatikana hii ni mojawapo ya harakati kubwa kutokea nchini Tanzania katika tasnia ya burudani tukiachana na ndugu zetu wa filamu ambao nao bado wanaendeleza harakati kikubwa kama watanzania tunapaswa kuungana na ndugu zetu na kuhakikisha kuwa haki inapatikana....MUNGU IBARIKI TANZANIA


Mkoloni, Adili Hisabati, Suma G,Danny Msimamo na Edger mahirane


Edger Mahirane, Adili Hisabati, Suma G, Mr Simple, Mkoloni, Danny Msimamo


Edger Mahirane, Adili Hisabati, SumaG, Mr Simple na Mkoloni


Edger Mahirane, Adili Hisabati, Mkoloni, Mr simple, Suma G, Danny Msimamo

VINEGA NA ANT-VIRUS HARAKATI ZINAENDELEA!!!!

Wakali wa ant-virus wanaokwenda kwa jina la vinega wamedhamilia kufanya juu chini kuhakikisha kuwa muziki wa bongo unakuwa kwa kuwaondoa virus wote wanaosababisha muziki kuyumba.
Suma-G, Danny Msimamo na Edger Mahirane

Saturday, July 23, 2011

KARIBUNI KATIKA BLOG HII!!!!!!!!

Mkurugenzi wa VIONJO CREAM, EDGER MAHIRANE atoa tamko juu ya uzinduzi wa blog ya VIONJO CREAM utakaofanyika 20 januari 2012, dhumuni la blog hii ni kurekebisha mfumo na mwenendo mbaya unaojitokeza katika filamu zinazochezwa nchini Tanzania.
Haki za wasanii wa filamu, uigizaji wa filamu unaozingatia haki na sio majina ya watu, kuhakikisha maisha ya wasanii wa BONGO MOVIES yanaendana na jasho lao.
Baada ya siku chache utakuwa ukipata matukio katika picha na habari kwa ufupi kuhusiana na filamu za kibongo, filamu za kihindi, filamu za kimarekani na filamu za kinaijeria zinazofananishwa sana na zile za kibongo kwa sababu mambalimbali za kimaudhui.
KWA PAMOJA SOKO LETU LA FILAMU NA MUZIKI WA BONGO TUNAWEZA KULIINUA..