Sunday, January 22, 2012

unakumbuka enzi hizi za 2006 Jay Z na Beyonce walivyotua Bongo na kucheza ngoma ya kimasai

Jay Z na mkewe Beyonce sambamba na baadhi ya watanzania wa jamii ya kimasai walipokuja katika ziara ya kimuziki (2006)

bongo movie katika hatua mpya ya mafanikio

Mh Jakaya Kikwete akiwa na Jacline Wolper mmoja wa majembe katika sanaa ya filamu Tanzania (picha kwa msaada wa News Blog)
Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa na Vicent Kigosi (picha kwa msaada wa News Blog)
Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa na mmoja wa wadada wanaofanya vizuri katika soko la fillamu bongo (picha kwa msaada wa News Blog)
Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa na Steven Kanumba (picha kwa msaada wa News Blog)
Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa na Richie (picha kwa msaada wa News Blog)
Mheshimiwa Jakaya Kikwete JacobSteven (picha kwa msaada wa News Blog)
Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa na wawakilishi wa bongo movie mjini dodoma (picha kwa msaada wa News Blog)

Friday, January 20, 2012

kazi hii ni mapenzi ya wengi ila hawa ndio malaika katika kazi

kazi bado ni tete

Tanzania inahitaji mabadiliko katika sanaa na huu ni mwanzo wa safari

kufanya kazi kwa bidii ndio jambo pekee litakalotupeleka katika ulimwengu mwingine wa sanaa hii

mapinduzi yanahitaji umoja na mshikamano ili kufikia malengo

mama mwitango(Elizabeth Edward) na baba mwitango (Sam Jacob) wakijadiliana mawili matatu kuhusiana na mwanao mwitango wanayetaka kumwozesha kwa lazima



mkufunzi akifanya mambo yake

(Samwel Sebastian)baba magosha sijui anawaza nini

Saturday, January 14, 2012

production inaendelea

mambo yamewiva sasa mdumange kwenda mbele

bwana bwana we acha tu

bibi harusi wetu

wacha bwana ndo style gani?

director akifanya mambo

wazazi wamefurahi sasa

toto kubwa eti nalo linadeka kwa baba na mama
 mambo yakiendelea
hapa tukicheki kama kila kitu kipo poa

Cream Production katika shooting

mama Vionjo Cream Agnes Mdoe

Ochieng Gad Ogweno TX wa ukweee
Pauline Maziku (bibi minza)