Jay Z na mkewe Beyonce sambamba na baadhi ya watanzania wa jamii ya kimasai walipokuja katika ziara ya kimuziki (2006) |
Sunday, January 22, 2012
unakumbuka enzi hizi za 2006 Jay Z na Beyonce walivyotua Bongo na kucheza ngoma ya kimasai
bongo movie katika hatua mpya ya mafanikio
Mh Jakaya Kikwete akiwa na Jacline Wolper mmoja wa majembe katika sanaa ya filamu Tanzania (picha kwa msaada wa News Blog) |
Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa na Vicent Kigosi (picha kwa msaada wa News Blog) |
Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa na mmoja wa wadada wanaofanya vizuri katika soko la fillamu bongo (picha kwa msaada wa News Blog) |
Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa na Steven Kanumba (picha kwa msaada wa News Blog) |
Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa na Richie (picha kwa msaada wa News Blog) |
Mheshimiwa Jakaya Kikwete JacobSteven (picha kwa msaada wa News Blog) |
Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa na wawakilishi wa bongo movie mjini dodoma (picha kwa msaada wa News Blog) |
Friday, January 20, 2012
kazi hii ni mapenzi ya wengi ila hawa ndio malaika katika kazi
kazi bado ni tete |
Tanzania inahitaji mabadiliko katika sanaa na huu ni mwanzo wa safari |
kufanya kazi kwa bidii ndio jambo pekee litakalotupeleka katika ulimwengu mwingine wa sanaa hii |
mapinduzi yanahitaji umoja na mshikamano ili kufikia malengo |
mama mwitango(Elizabeth Edward) na baba mwitango (Sam Jacob) wakijadiliana mawili matatu kuhusiana na mwanao mwitango wanayetaka kumwozesha kwa lazima |
mkufunzi akifanya mambo yake |
(Samwel Sebastian)baba magosha sijui anawaza nini |
Saturday, January 14, 2012
production inaendelea
Subscribe to:
Posts (Atom)