kazi bado ni tete |
Tanzania inahitaji mabadiliko katika sanaa na huu ni mwanzo wa safari |
kufanya kazi kwa bidii ndio jambo pekee litakalotupeleka katika ulimwengu mwingine wa sanaa hii |
mapinduzi yanahitaji umoja na mshikamano ili kufikia malengo |
mama mwitango(Elizabeth Edward) na baba mwitango (Sam Jacob) wakijadiliana mawili matatu kuhusiana na mwanao mwitango wanayetaka kumwozesha kwa lazima |
mkufunzi akifanya mambo yake |
(Samwel Sebastian)baba magosha sijui anawaza nini |
No comments:
Post a Comment