Friday, January 20, 2012

kazi hii ni mapenzi ya wengi ila hawa ndio malaika katika kazi

kazi bado ni tete

Tanzania inahitaji mabadiliko katika sanaa na huu ni mwanzo wa safari

kufanya kazi kwa bidii ndio jambo pekee litakalotupeleka katika ulimwengu mwingine wa sanaa hii

mapinduzi yanahitaji umoja na mshikamano ili kufikia malengo

mama mwitango(Elizabeth Edward) na baba mwitango (Sam Jacob) wakijadiliana mawili matatu kuhusiana na mwanao mwitango wanayetaka kumwozesha kwa lazima



mkufunzi akifanya mambo yake

(Samwel Sebastian)baba magosha sijui anawaza nini

No comments:

Post a Comment